08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

makafiri wa Kiquraishi walimwita Mtume(s.a.w) mchawi, mkiwa (abtar),<br />

mwendawazimu, mwenye kupagawa na shetani na mwenye kurogwa.Pia<br />

walimbeza na kumfanyia stihizai za kila namna.Mtume (s.a.w)hakuwajali<br />

bali aliendelea na ujumbe wake na watu wakawa wanazidi kusilimu siku<br />

baada ya siku.Ilikuwa hivyo kwa sababu Mtume (s.a.w) alifuatilia kwa<br />

makini maelekezo ya awali aliyopewa na Mola wake ya kufanya subira<br />

katika Al-Muzzammil (73:10) na Al-Muddathir (74:7).<br />

Mwanaharakati hana budi kutambua kuwa yaliyomsibu<br />

Mtume (s.a.w) na walioamini pamoja naye katika kazi ya<br />

kusimamisha Uislamu ni lazima naye yamfike au mfano wake.<br />

Katika jamii ya leo maneno ya kashfa dhidi ya Uislamu na<br />

Waislamu si mageni kwetu. Waislamu wenye siasa<br />

kali,wanaochanganya dini na siasa, waislamu wanaotumiwa na<br />

maadui, waislamu wenye kuleta uchochezi ili kuvuruga amani na<br />

usalama, magaidi, n.k.Mwanaharakati hana budi kumuiga Mtume<br />

(s.a.w) kwa kudharau kashfa, matusi na propaganda zote na<br />

aendelee na kazi yake ili asije akatolewa katika lengo.<br />

(vi) Kusubiri katika misukosuko ya kawaida ya<br />

maisha. Kama Allah (s.w) anavyotuasa katika Qur’an:<br />

Na tutakutieni katika msukosuko wa (baadhi ya mambo haya);<br />

hofu na njaa na upungufuwa mali na wa watu na wa matunda.<br />

Na wapashe habari njema wanaosubiri”. Ambao uwapatapo<br />

msiba husema: “Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake<br />

75

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!