08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Wanaume wanafiki na wanawake wanafiki, wote ni hali moja;<br />

huamrisha yaliyo mabaya na huyakataza yaliyo mazuri, na<br />

kuizuilia mikono yao (hawasaidii mambo ya kheri);<br />

wamemsahau Mwenyezi Mungu (wamepuuza amri Zake); na<br />

Yeye pia amewasahau Hakika wanafiki ndio wavunjao<br />

amri.(9:67)<br />

Mwenyezi Mungu amewaahidi wanafiki wanaume na wanafiki<br />

wanawake na makafiri, moto wa jahannamu kukaa humo<br />

daima. Huo unawatosha (kuwaadhibu); na Mwenyezi Mungu<br />

amewalaani; nao wana adhabu itakayodumu. (9:68)<br />

Wanapokujia wanafiki, husema: “Tunashuhudia ya kuwa kwa<br />

yakini wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu.” Na Mwenyezi<br />

Mungu anajua kuwa wewe ni Mtume wake na Mwenyezi Mungu<br />

anashuhudia ya kuwa hakika wanafiki ni waongo. (63:1)<br />

Wamevifanya viapo vyao ndizo ngao za kujikingia, wakajikinga<br />

na kupitishwa njia ya Mwenyezi Mungu. Kwa hakika ni mabaya<br />

kabisa waliyo kuwa wakifanya.(63:2).<br />

150

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!