08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Wamewafanya wanavyuoni wao na watawa wao kuwa ni<br />

miungu badala ya Mwenyezi Mungu, na (wamemfanya)<br />

Masihi mwana wa Maryamu (pia Mungu), hali<br />

hawakuamrishwa isipokuwa kumuabudu Mungu mmoja,<br />

hakuna anayestahiki kuabudiwa ila Yeye. Ametakasika na<br />

yale wanayomshirikisha nayo. “(9:31)<br />

............<br />

‘’Enyi mlioamini Wengi katika makasisi (wanavyuoni wa<br />

Mayahudi na Manasara) na watawa (wao) wanakula mali za<br />

watu kwa batili na kuwazuilia njia ya Mwenyezi Mungu ....<br />

“(9:34)<br />

‘’Mfano wa wale waliopewa Taurati, kisha hawakuichukua<br />

(kwa kuitumia) ni kama punda anayebeba vitabu vikubwa<br />

(bila kupata nafuu kwavyo). Ni mbaya kabisa mfano wa watu<br />

waliozikadhibisha Aya za Mwenyezi Mungu; na Mwenyezi<br />

Mungu hawaongoi watu madhalimu”. (62:5)<br />

Aya hizi, kwa ujumla zinatutaka tuwe macho na wanazuoni<br />

au masheikh wanaotaka kusimamisha himaya zao badala ya<br />

kusimamisha Uislamu katika jamii. Mara nyingi masheikh na<br />

wanazuoni wa aina hii ambao wanafananishwa na Mbwa na Punda,<br />

127

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!