08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ikumbukwe kuwa mwaka 1990 Padre mmoja wa Kanisa<br />

Katoliki aliomba Bakwata imruhusu awasomeshe watoto wa<br />

madrasa Qur’an na lugha ya Kiaarabu, ili waweze kusoma kwa<br />

muda mfupi kabisa. Bakwata walikataa. Kwa sababu watoto wa<br />

Kiislamu hawawezi kufundishwa dini yao na mtu anayeichukia na<br />

kuipiga vita dini hiyo.<br />

Leo, yale yale waliyoyakataa Bakwata wakati ule yanafanyika<br />

tena kwa shangwe na vifijo. Swali: Hivi kwanini leo Wamarekani<br />

wanaowauwa Waislamu wenzetu huko Afghanistan, Iraq na<br />

Palestina wakawa ndio wafadhili pekee wa madrasa huko Zanzibar<br />

kwenye asilimia 99 ya Waislamu? Kwanini makafiri hawa<br />

wanafanikiwa? Al-jawab. “Wamefuata zile kanuni za maadili<br />

ya kibinadamu” tulizozitaja hapo juu. Watu hawawezi kuijua na<br />

kuifuata Qur’an kwa sababu tu sisi tunatamani, na ilhali hatupo<br />

tayari kutumia mali zetu, nafsi zetu, wakati wetu na juhudi zetu<br />

kuhakikisha hilo linafanyika. Huko Zanzibar, USAID<br />

imekwishatumia mamilioni ya shilingi ili kufikia malengo yake.<br />

(ii) Maadili ya Kiislamu<br />

Maadili ya Kiislamu ni yale yale ya kibinaadamu isipokuwa<br />

kinachobadilika ni mwelekeo na matumizi ya maadili hayo.<br />

Maadili ya kibinaadamu yanapoongozwa na Tawhiid na yakawa<br />

lengo lake wakati wote ni kupata radhi za Allah (s.w) basi yatakuwa<br />

ni maadili ya Kiislamu. Maadili ya Kiislamu yanakuwa ni bora zaidi<br />

kwa sababu wakati wote yanatumika katika kusimamisha uadilifu<br />

katika jamii.<br />

Kanuni ya Allah kuhusu uongozi katika jamii<br />

Kanuni aliyoiweka Allah (s.w) kuhusu nani wawe viongozi<br />

katika jamii ni hii:<br />

Uongozi wa watu katika jamii siku zote huchukuliwa na wale<br />

watu ambao wamechanganya maadili ya kibinadamu na yale ya<br />

Kiislamu. lkiwa hakuna wenye sifa hiyo basi uongozi utakwenda<br />

kwa wale wenye maadili ya kibinaadamu, hata kama hawatakuwa<br />

34

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!