08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Aya hizi zinasisitiza kuwa mtu akizama kitaaluma katika fani<br />

mbali mbali za elimu ya Mazingira anayakinisha kuwepo Allah<br />

(s.w) kwa upeo mkubwa.<br />

(vi) Kukosoa Nadharia Potofu<br />

Mfumo wa elimu wa Kikafiri upo pale kwa lengo la<br />

kuwaongoza watu kutoka kwenye nuru (Uislamu) na kwenda<br />

kwenye giza (Ukafiri) – Qur’an (2:257). Kwa kujua hili Mwalimu<br />

Muislamu awe makini katika kufuata mitaala ya kitwaghuti iliyopo<br />

pamoja na vitabu vya kiada vya masomo mbali mbali.<br />

Pale ambapo katika vitabu vya kiada imetumika mifano au<br />

vielelezo vinavyokwenda kinyume na Uislamu, Mwalimu<br />

Muislamu hanabudi kuubainisha na kuukosoa upotofu ule na<br />

kutoa mifano au vielelezo mbadala vyenye muelekeo wa Kiislamu.<br />

Kwa mfano katika mitaala ya mfumo wa elimu wa Tanzania,<br />

katika somo la Historia, inafundishwa nadharia ya Charles Robert<br />

Darwin inayodai kuwa asili ya mwanaadamu ni Sokwe. katika<br />

kufundisha mada hii ya “asili ya mwanaadamu” (The Origin of<br />

Man), Mwalimu Muislamu hanabudi kukosoa nadharia hiyo kwa<br />

kutumia hoja na kisha kuonesha asili sahihi ya mwanaadamu kwa<br />

kurejea Qur’an.<br />

Pia historia ya Tanzania bara na visiwani imepotoshwa ili<br />

mchango wa Uislamu na Waislamu wakupigania uhuru usionekane<br />

badala yake ionekane kuwa ukoloni uliombatana na ukristo ndio<br />

uliowaokoa watanzania kutokana na utumwa ulioendeshwa na<br />

waaarabu waliokuwa ni waislamu.<br />

216

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!