08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(iii) Kufafanua mada kwa aya au Hadith<br />

Mwalimu Muislamu anawajibika kuzibaini aya za Qur’an na<br />

Hadithiza Mtume (s.a.w) zinazolandana na kila mada ya somo<br />

lake. Kwa mfano, Mwalimu wa “Biology” anapofundisha mada ya<br />

“Cell” ya wanayama na ya mimea na kuonesha kuwa asilimia 75%<br />

ya sehemu za “cell” ni maji, ni vema akalithibitisha hilo kwa aya<br />

ifuatayo:<br />

“Je! Hawakuona wale waliokufuru ya kwamba mbingu na ardhi<br />

vilikuwa vimeambatana, kisha tukaviumbua (Tukavipambanua).<br />

Na Tukafanya kwa maji kila kitu kilicho hai. Basi je,<br />

hawaamini?” (21:30).<br />

Aya hii inasisitiza kuwa kila kitu kilicho hai kimeumbwa na<br />

Allah(s.w) kutokana na maji.<br />

Takriban kila mada kuu tunayoisoma katika elimu ya<br />

mazingira (Biology, Chemistry, Physics, Geography, History,<br />

Lugha, Biashara, Siasa, n.k.), ina aya ya Qur’an au Hadith<br />

inayoifafanua.<br />

(iv) Kutoa na kutumia mifano na vielelezo vya<br />

Kiislamu.<br />

Mwalimu Muislamu ajijengee tabia ya kutumia vielelezo na<br />

mifano hai ya maisha ya Kiislamu katika kukazia mada<br />

anayoifundisha pale panapohitaji mifano au vielelezo. Kwa mfano<br />

Mwalimu wa Hisabati anayefundisha mada ya “Uwiano” (ratios),<br />

atoe mifano na maswali ya kugawa Mirath kwa wenye mafungu;<br />

kama vile:<br />

214

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!