08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kuusimamisha Uislamu katika Jamii. Atakuwa tayari kufanya<br />

biashara na Allah (s.w) kama inavyobainishwa katika aya ifuatayo:<br />

“Mwenyezi Mungu amenunua kwa waumini nafsi zao na<br />

mali zao (watoe nafsi zao na mali zao katika kupigania dini)<br />

ili na yeye awape Pepo. Wanapigana katika njia ya<br />

Mwenyezi Mungu; wanaua na wanauawa. Hii ndiyo ahadi<br />

aliyojilazimisha (Mwenyezi Mungu) katika Taurati na Injili<br />

na Qur’an. Na ni nani atekelezaye zaidi ahadi yake kuliko<br />

Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu<br />

mliyofanya naye (Mwenyezi Mungu). Na huko ndiko kufuzu<br />

kukubwa”. (9:111).<br />

Pia mwanaharakati mwenye imani thabiti hatamchelea<br />

yoyote anayekuwa kipingamizi cha kusimamisha Uislamu katika<br />

jamii hata akiwa mtu wake wa karibu kinasaba. Kama<br />

inavyobainsihwa katika Qur’an:<br />

66

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!