08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

yao na kuumeni (kuliani) kwao na kushotoni kwao, katika wao<br />

hutawakuta (hutawaona) ni wenye kushukuru”.(7: 16-17)<br />

Akasema (Mwenyezi Mungu): “Toka humo, hali ya kuwa ni<br />

mwenye kudharauliwa na mwenye kufukuzwa.<br />

Atakayekufuata miongoni mwao, (nitamtia motoni) niijaze<br />

Jahannamu kwa nyinyi nyote..(7:18)<br />

(Kisha Mwenyezi Mungu akasema kumwambia nabii Adam):<br />

“Na wewe Adam! Kaa peponi pamoja na mkeo, na kuleni<br />

mnapopenda, lakini msiukaribie mti huu msije kuwa<br />

miongoni mwa waliodhulumu (7:19)<br />

Basi shetani naye ni yule (Iblis) aliwatia wasi wasi ili<br />

kuwadhihirishia aibu zao walizofichiwa, akasema: “Mola<br />

wenu hakukukatazeni mti huu ila (kwa sababu hii): msije<br />

kuwa Malaika au kuwa miongoni mwa wakaao milele<br />

(wasife).”.(7:20)<br />

Naye akawaapia (kuwaambia): “Kwa yakini mimi ni mmoja<br />

wa watoao shauri njema kwenu”..(7:21)<br />

162

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!