08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Basi akawateka (wote wawili) kwa khadaa (yake). Na walipouonja<br />

mti ule aibu zao ziliwadhihirikia na wakaingia kujibandika majani<br />

ya (miti ya huko) Peponi. Na Mola wao akawaita<br />

(akawaambia):“Je, sikukukatazeni mti huu na kukuambieni<br />

kwamba shetani ni adui yenu aliye dhahiri?” .(7:22)<br />

Wakasema “Mola wetu! Tumedhulumu nafsi zetu; na kama<br />

hutusamehi na kuturehemu, bila shaka tutakuwa miongoni<br />

mwa wenye khasara (kubwa kabisa)”..(7:23)<br />

Akasema (Mwenyezi Mungu) “Shukeni (katika ardhi),<br />

nyinyi kwa nyinyi ni maadui. Na makao yenu yatakuwa<br />

katika ardhi, na starehe yenu , mpaka muda (niutakao mimi<br />

mwenyewe Mwenyezi Mungu). (7:24)<br />

Akasema (Mwenyezi Mungu): “Mtaishi humo na mtafia<br />

humo, na mtatolewa humo” (mtafufuliwa kwenda akhera<br />

kulipwa)..(7:25)<br />

163

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!