08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ambao utawaelekeza na kuwafanya watu wafuate utaratibu<br />

anaouridhia Allah(s.w)katika kukiendea kila kipengele cha maisha<br />

na hatimaye kupatikana utulivu na amani ya kweli katika jamii.<br />

Katika kuweka mikakati ya kuhuisha Uislamu katika jamii hatuna<br />

budi kwanza kuwa na Waislamu walio waumini wa kweli.<br />

Waumini wa kweli watapatikana kwa kutoa elimu sahihi ya<br />

Uislamu kwa Waislamu na wasiokuwa Waislamu. Baada ya watu<br />

kupata elimu sahihi juu ya Uislamu, watakaokhiyari kuwa<br />

Waislamu, wataudhihirisha Uislamu wao kibinafsi na kijamii.<br />

Pamoja na hali ya hatari iliyokuwepo katika kipindi cha mwanzo<br />

wa utume cha kwanza kuulingania Uislamu Makka, Mtume<br />

(s.a.w), baada ya kuwadarasisha Maswahaba pale Darl-Arqam, na<br />

kuwapa tafsiri sahihi ya Shahada katika maisha ya kila siku, mara<br />

moja wakaanza kutekeleza. Rejea tena maelezo ya Ja’affar kwa<br />

Mfalme Najash wa Uhabeshi. Ili kuweza kupata jamii ya Waislamu<br />

wa aina hii ni lazima tuanze kuandaa wanaharakati watakaokuwa<br />

walimu na mfano wa kuigwa kinadharia na kimatendo. Juzuu hii<br />

inaainisha maandalizi haya na yakifuatiliwa vilivyo Inshaa-Allah,<br />

itakuwa ndiyo sababu ya kuhuisha na kusimama uislamu katika<br />

jamii yetu ya Tanzania na ulimwengu na kwa ujumla.<br />

(xii)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!