08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sura ya Saba<br />

UONGOZI BORA KATIKA HARAKATI<br />

ZA KIISLAMU<br />

Nani Kiongozi ?<br />

Kiongozi ni yule anayewaelekeza watu kuendea lengo husika<br />

bila ya kutumia nguvu au yule anayewatoa watu pahala na<br />

kuwafikisha pahala pengine panapotarajiwa na wote bila ya<br />

kutumia nguvu. Katika mchakato wa uongozi, kiongozi bora<br />

huelekeza, hufafanua na huhamasisha watu waongoze<br />

kuendea njia sahihi itakayowafikisha pahali tarajiwa.<br />

Nani mtawala ?<br />

Mtawala ni yule anayetumia nguvu kuwatoa watu pahali na<br />

kuwapeleka anakotaka yeye kwa manufaa yake au ya kikundi<br />

kidogo cha watawala wenzake.<br />

Dhana ya uongozi kwa mtazamo wa Uislamu.<br />

Katika Uislamu, kila muislamu anawajibika kuwa kiongozi:<br />

(i) Kila muislamu anawajibika kuwa Da'iyah ambaye<br />

analazimika kujua namna ya kumuongoza mtu<br />

mmoja mmoja,familia, taasisi, n.k.<br />

(ii)Mtume (s.a.w) ameweka bayana kuwa kila muislamu ni<br />

kiongozi kwa mujibu wa Hadith ifuatayo:<br />

"Abdullah bin Umar(r.a) amesimulia kuwa Mtume wa Allah<br />

amesema: "kila mmoja ni mchunga(kiongozi) na kila mmoja<br />

ataulizwa juu ya wale aliowaongoza. Imamu (kiongozi wa jamii)<br />

ni mchunga wa watu anaowangoza na ataulizwa juu<br />

yao,mwanaumume ni kiongozi wa familia yake na ataulizwa juu ya<br />

watu wa familia yake. Mwanamke ni malikia wa nyumba ya mume<br />

wake na watoto na ataulizwa juu ya vitu hivyo. Sikilizeni! Hakika<br />

187

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!