08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu na hali<br />

kila kilichomo mbinguni na ardhini kinamtii Yeye, kikipenda<br />

kisipende? Na Kwake watarejeshwa wote”. (3:83).<br />

Aya hii inabainisha wazi kuwa binadamu ana hiari ya kumtii<br />

Allah (s.w.) au kumuasi, lakini viumbe vyote vinalazimika<br />

kimaumbile kumtii Allah (s.w.) katika kila nukta ya maisha yao.<br />

Vilevile aya zifuatazo, zinatufahamisha kuwa si katika Sunnah<br />

(kawaida) ya Allah (s.w.) kuwalazimisha binadamu na majini<br />

kumtii wakipenda wasipende:<br />

Na kama angalitaka Mola wako (kuwalazimisha kwa nguvu<br />

kuamini) bila shaka wangaliamini wote waliomo katika<br />

ardhi (asibaki hata mmoja). (Lakini Mwenyezi Mungu hataki<br />

kuwalazimisha watu kwa nguvu) Basi je, wewe<br />

utawashurutiza (watu kwa nguvu hata wawe Waislamu?)<br />

(10:99)<br />

“Na tungalitaka Tungempa kila mtu uongofu wake (kwa<br />

lazima, lakini binadamu amepewa uhuru wa kufanya<br />

alitakalo lilo jema au baya), lakini imehakikika kauli<br />

iliyotoka kwangu: Kwa yakini Nitaijaza Jahannamu kwa<br />

wote hawa, majini na watu” (32: 13)<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!