08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Makafiri na Washirikina.<br />

Tunajifunza katika Qur-an kuwa makafiri na Washirikina<br />

daima wako mbioni katika kutaka kuizima nuru ya Allah (s.w) na<br />

wanachukia mno kuuona Uislamu unasimama kama<br />

zinavyobainisha aya zifuatazo:<br />

Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa<br />

vyao, na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake,<br />

ijapokuwa makafiri watachukia.(61:8)<br />

Yeye ndiye aliyemtuma Mtume wake kwa Uongofu na kwa<br />

dini ya haki ili kuifanya ishinde dini zote japo washirikina<br />

watachukia. (61:9)<br />

Kwa nini Makafiri na Washirikina wanachukia kuuona<br />

Uislamu unasimama katika jamii? Sababu Uislamu unaamrisha<br />

mema na kukataza maovu katika jamii na unasimamisha haki.<br />

Makafiri na washirikina kwa kufuata matashi ya nafsi zao, huzuia<br />

mema na huamrisha maovu na wameunda mifumo ya maisha<br />

ambayo humfanya kila mwenye uwezo mkubwa wa kiafya, kielimu,<br />

kiuchumi, kimadaraka; amdhulumu mwenye uwezo mdogo. Ni<br />

kwa msingi huu, tunafahamishwa katika Qur-an kuwa katika<br />

historia yote ya mwanaadamu, walioongoza katika kuupiga vita<br />

Uislamu ni viongozi wa jamii za kikafiri na kishirikina.<br />

134

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!