08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Hivyo waumini hawanabudi kuwa na subira ya hali ya juu ya<br />

kuhimili vitimbi vya maadui wa harakati za Uislamu. Tukumbuke<br />

kuwa kusimamisha Uislamu ni kazi ngumu (kauli nzito) yenye vikwazo<br />

na mitihani mingi kama tunavyokumbushwa.<br />

Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, na hali hamjajiwa na mfano<br />

wa (yale yaliyowajia) wale waliopita kabla yenu? Yaliwapata<br />

mashaka na madhara na wakatetemeshwa sana hata Mitume na<br />

walioamini pamoja nao wakasema: "Nusura ya Mwenyezi<br />

Mungu itafika lini?" Jueni kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu iko<br />

karibu. (2:214)<br />

Je! Mnadhani mtaingia Peponi hali Mwenyezi Mungu<br />

hajawapambanua wale waliopigania Dini ya Mwenyezi Mungu<br />

miongoni mwenu, na kuwapambanua waliofanya subira?<br />

(Sharti yaonekane kwanza haya hapa ulimwenguni). (3:142)<br />

60

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!