08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Hatua za kufuata katika kupanga<br />

1. Kuweka matarajio (vision) na mikakati (njia) ya kufikia<br />

matarajio hayo.<br />

- Matarajio ya waislamu ni kusimamisha Uislamu katika<br />

jamii<br />

- Muelekeo na njia tunayotakiwa tupite ni ile ya<br />

kuwaelimisha waislamu wakaijua na kuifuata Qur’an katika<br />

kila kipengele cha maisha yao kupitia:<br />

- Shule za awali hadi vyuo vikuu vya kiislamu<br />

- Darasa duara – kwa watu wazima<br />

- Darasa za watoto<br />

- Vitabu,magazeti, T.V. Radio<br />

2. Kuweka malengo<br />

- Malengo yawe wazi – yaeleze kwa uwazi unakusudia kufanya<br />

nini ?<br />

- Yawe yanayopimika kwa urahisi na yawe yenye kutekelezeka.<br />

- Malengo yaendane na matarajio (vision).<br />

3. Kufanya utafiti juuya “Hali halisi” na namna inavyoweza<br />

kuathiri kufikiwa kwa malengo yako. Mambo ya kuyaangalia<br />

katika utafiti huu ni:-<br />

(i) Kuyatambua mambo ambayo yanaweza kukupa nguvu<br />

dhidi ya washindani wako kama vile<br />

- Mtandao mpana<br />

- Elimu ya kutosha<br />

- kuwa na taarifa muhimu<br />

(ii) Kuzijua fursa zilizopo na namna fursa hizo zinavyo weza<br />

kuchangia katika kulifikia lengo kwa ufanisi.<br />

(iii) Kuzingatia kanuni na sheria za serikali.<br />

(iv) Kuijua hali ya uchumi wa nchi.<br />

172

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!