08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Na watasema wale waliofuata laiti tungeliweza kurudi<br />

(duniani) tukawakataa kama wanavyotukataa. Hivi ndivyo<br />

Mwenyezi Mungu atakavyowaonyesha vitendo vyao kuwa<br />

majuto yao, wala hawatakuwa wenye kutoka motoni. (2:167).<br />

Mbinu za wanafiki.<br />

Wanafiki kwa mujibu wa Qur’an ni wale watu wanaojiita<br />

Waislamu kinadharia lakini kimatendo mwenendo wao ni sawa na<br />

ule wa Mayahud, Wakristo, Makafiri, Washirikina na Mashetani<br />

kulingana na mazingira na maslahi ya kidunia. Hawa, pamoja na<br />

kujiita Waislamu si Waislamu kama Allah (s.w) anavyobainisha<br />

katika Qur’an:<br />

“Na katika watu, wako (wanafiki) wasemao: ‘Tumemwamini<br />

Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho’ na hali ya kuwa wao<br />

si wenye kuamini. Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi<br />

Mungu na wale walioamini, lakini hawamdanganyi ila nafsi<br />

zao; nao hawatambui”. (2:8-9).<br />

Tabia ya wanafiki na mbinu zao katika kuuhujumu Uislamu<br />

na Waislamu zimeelezwa kwa kirefu katika Qur’an katika aya na<br />

sura mbali mbali na imeshushwa sura maalum ya wanafiki –<br />

“Suratul-Munaafiquun”.<br />

155

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!