08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2. Kujipamba na tabia njema<br />

Kama ilivyoelekezwa katika Qur’an na Sunnah. Soma<br />

vipengele vya tabia njema kama vilivyo ainishwa katika:<br />

(i) Juzuu ya Pili – Sura ya kwanza – Maisha ya Shahada.<br />

(ii) Juzuu ya Tatu – Sifa za Waumini kama zilivyo ainishwa<br />

kaitka Qur’an.<br />

(iii) Vitabu vya Hadith kama vile Riyadhus – Swalihiin, na<br />

vinginevyo.<br />

3. Kusoma Mbinu za Kulingania na Kuufundisha<br />

Uislamu.<br />

Kila mwanaharakati anapaswa kujifunza mbinu za<br />

kulingania na kufundisha Uislamu ili awe mlinganiaji na mwalimu<br />

bora atakayeweza kufikisha ujumbe kwa ufanisi.<br />

4. Kuitakasa nafsi na kujijengea msimamo na ujasiri<br />

kwa kufanya yafuatayo:<br />

(i) Kutekeleza nguzo zote za Uislamu kama ipasavyo<br />

na kujitahidi kufikia lengo tarajiwa kwa kila nguzo.<br />

(ii) Kujizatiti kutekeleza maamrisho yote ya Allah na kuacha<br />

makatazo yake yote kwa kadiri ya uwezo.<br />

(iii)Kujizatiti kumtii Mtume (s.a.w) na kufuata mwenendo<br />

wake na kujitahidi kutekeleza matendo yote ya Sunnah<br />

aliyoainisha katika ibada maalumu kama vile swala na<br />

funga za Sunnah na katika mwenendo mzima wa maisha<br />

ya kila siku.<br />

(iv) Kujitahidi kusimamisha swala ya usiku (Tahajjud) kila<br />

siku katika maisha yote ya mwanaharakati ili<br />

kupata ujasiri na ukomandoo (ujasiri na ukakamavu)<br />

wa nafsi.<br />

(v) Kusoma Qur’an kwa mazingatio. Mwanaharakati<br />

ajiwekee ada ya kuipitia tafsiri ya Qur’an na sherehe<br />

yake ili kupata ujumbe uliokusudiwa katika kila aya na<br />

78

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!