08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Na (Mtaje)Dhun-Nun (Yunus) alipoondoka hali<br />

amechukiwa, na akadhani ya kwamba hatutamdhikisha. Basi<br />

(alipozongwa) aliita katika giza (akasema): “Hakuna<br />

aabudiwaye isipokuwa wewe, Mtakatifu; hakika mimi<br />

nilikuwa miongoni mwa wenye kudhulumu (nafsi zao)”. Basi<br />

Tukampokelea na Tukamuokoa katika huzuni iIe, Na namna<br />

hiyo ndivyo Tuwaokoavyo walioamini”. (21:87-88)<br />

Jukumu la mlinganiaji ni kufikisha ujumbe wa Uislamu kwa<br />

hekima, kwa mawaidha mazuri na kwa kujadiliana kwa namna<br />

iliyo bora na jukumu la kumuongoza mlinganiwaji au kumuachia<br />

kupotea liko kwa Allah (s.w) kama aya inavyosisitiza:<br />

..........<br />

“... Hakika Mola wako ndiye anayemjua aliye potea katika<br />

njia yake, Naye ndiye anayewajua walioongoka” (16:125)<br />

8. Kuwafahamu maadui wa Uislamu na<br />

mbinu zao<br />

Pamoja na kuzijua hizi mbinu saba (7) za kulingania Uislamu<br />

ni muhimu pia kuwajua fika maadui wa Uislamu na mbinu zao.<br />

Kumjua adui yako vilivyo ni nusu ya ushindi. Maadui wa Uislamu<br />

walioainishwa katika Qur’an ni<br />

Makafiri na Washirikina<br />

Mayahudi na Wakristo<br />

Wanafiki<br />

Shaitwaani.<br />

133

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!