08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mwenyewe tabia yake ni ya kuuangusha na kuuhilikisha. Ni vibaya<br />

mno mbele ya Allah (s.w) mtu kusema asiyoyatenda kama Allah<br />

(s.w) anavyotuasa:<br />

Enyi mlioamini! Mbona mnasema msiyoyatenda? Ni chukizo<br />

kubwa mbele ya Allah kusema msiyoyatenda. (61 :2-3)<br />

Pia Allah (s.w.) anatutanabahisha katika Aya ifuatayo:-<br />

“Je, mnawaamrisha watu kutenda mema na mnajisahau<br />

nafsi zenu, hali mnasoma kitabu Basi je, hamna akili? (2:44)<br />

Kutokana na mafundisho haya ya Qur’an, si tu kwamba<br />

Mwanaharakati wa maneno matupu hatafanikiwa katika kazi yake<br />

bali anangojewa na adhabu kali mbele ya Allah (s.w) kama<br />

tunavyojifunza katika Hadith ifuatayo:<br />

“Usamah bin Zaid (r.a) ameeleza kuwa, Mtume wa Allah<br />

amesema:Mtu ataletwa siku ya Kiyama kisha atatumbukizwa<br />

motoni, matumbo yake yatamwagika motoni na kusagwa<br />

sagwa (yawe kama unga) kisha wakazi wa huko motoni<br />

watamzunguka na kisha watamuuliza, “Ewe mtu kitu gani<br />

kilichokutokea?Hukuwa unatuamrisha mema na kutukataza<br />

maovu? Atajibu, Nilikuwa nikikuamrisheni mema ambayo<br />

mimi mwenyewe sikuwa ninayafanya, na nilikukatazeni<br />

maovu ambayo mimi mwenyewe nilikuwa ninayafanya”<br />

(Bukhari na Muslim)<br />

68

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!