08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(iv)Kuchukia maovu na udhalimu na kufanya jitihada za<br />

makusudi za kuyaondoa au kuyakemea kwa kadiri ya<br />

uwezo.<br />

(v) Kuwa na hamu na shauku ya kupigania Dini ya Allah<br />

na kufa shahidi.<br />

(vi) Kujitahidi kulingania na kuufundisha Uislamu kwa<br />

jamii akianzia kwa familia yake kisha kwa ndugu,<br />

jamaa na marafiki wa karibu na mbali.<br />

(vii) Kujiunga pamoja na watu binafsi, vikundi au taasisi<br />

zenye lengo kuu la kusimamisha Uislamu katika jamii.<br />

Zoezi la Tatu<br />

1. Nani asemaye kauli bora kuliko yule aitaye(watu) kwa<br />

Mwenyezi Mungu na mwenyewe akafanya vitendo vizuri na<br />

kusema (kwa maneno yake na vitendo vyake), hakika mini<br />

ni miongoni mwa waislamu”(41:33)<br />

Chambua mafunzo makubwa matatu (3) yatokanayo na aya<br />

hii.<br />

2. (a) Nani mwanaharakati wa Kiislamu ?<br />

(b) Chambua sifa anazostahiki kujipamba nazo<br />

mwanaharakati wa kiislamu.<br />

3.“Na kwa ajili ya Mola wako fanya Subira” (74:7)<br />

Subira ni kipengele cha tabia njema chenye maana pana.<br />

Bainisha maeneo makuu matano (5) yanayompasa<br />

mwanaharakati kuleta subira.<br />

4. “Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa Hekima na<br />

mawaidha mema ............” (16:125)<br />

Nini Hekima ?<br />

80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!