08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Je, mnadhani kuwa mtaachwa, na hali Mwenyezi Mungu<br />

hakuwabainisha wale waliopigania dini miongoni mwenu na<br />

wasiwafanye rafiki wa moyo isipokuwa Mwenyezi Mungu na<br />

Mtume wake na waumini (wenziwe)? Na Mwenyezi Mungu<br />

anazo khabari za yote mnayoyafanya”. (9:16)<br />

(iii)Allah(s.w)ameshusha silaha kwa lengo la<br />

kusimamisha Uislamu katika Jamii.<br />

Kwa hakika Tuliwapeleka Mitume Wetu kwa dalili waziwazi<br />

na Tukaviteremsha Vitabu na mizani pamoja nao, ili watu<br />

wasimamie uadilifu. Na tumekiteremsha chuma chenye<br />

nguvu nyingi na manufaa kwa watu; na ili Mwenyezi Mungu<br />

Ajulishe anayemnusuru na Mitume yake, na hali ya kuwa<br />

hawamuoni Mwenyezi Mungu. Kwa yakini Mwenyezi Mungu<br />

ni Mwenye nguvu mwenyewe kushinda”. (57:25).<br />

Katika aya hii tunajifunza kuwa lengo la kuletwa Mitume<br />

wa Allah (s.w) ni kusimamisha haki na uadilifu katika jamii kwa<br />

kufuata vitabu vya Allah (s.w) vyenye mwongozo, sheria na<br />

hukumu. Kisha Allah (s.w) akashusha chuma chenye nguvu<br />

(silaha) ili Mitume na walioamini pamoja nao wakitumie kuzima<br />

nguvu za wapinzani wa haki na uadilifu, wanaopendelea<br />

kudhulumu watu na kufanya ufisadi katika ardhi.<br />

12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!