08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ya kuufuata Uislamu katika maisha yao ya kila siku na hatimaye<br />

kuusimamisha katika jamii, bali pia amekamiwa na Mola wake<br />

kupata adhabu iumizayo.<br />

“Enyi Mlioamini! Mbona (kwanini) mnasema<br />

msiyoyatenda? Ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi<br />

Mungu kusema msiyoyatenda” . (61 :2-3)<br />

2. Kuwepo Kundi la walinganiaji lenye sifa<br />

stahiki<br />

Kazi ya kulingania na kusimamisha Uisiamu katika Jamii, ni<br />

jukumu zito, kama tulivyoona katika Qur’an(73:5), hivyo inahitajia<br />

kuwa na nguvu za pamoja. Mitume wa Allah (s.w) pamoja na<br />

kuandaliwa na kuletewa Wahyi, hawakuweza wenyewe kuulingania<br />

na kuusimamisha Uislamu katika jamii, bali walisaidiana na<br />

waumini waliowakubali. Tangu mwanzo wa Utume Wake, katika<br />

kipindi cha Makka, Mtume (s.a.w) alishirikiana mno na waumini<br />

wa mwanzo kuulingania Uislamu kiasi kwamba katika kipindi cha<br />

miaka mitatu ya mwanzo (ya kulingania kwa siri), Uislamu ulifika<br />

katika kila kaya ya kabila la Quraish. Pia Mtume (s.a.w) kwa<br />

kushirikiana na Waumini ulinganizi wa Uislamu ulitanuka kwa<br />

kasi kikubwa sana baada ya Mkataba wa Hudaybiya pale Mtume<br />

(s.a.w) alipowakusanya waumini na kuwahutubia kama ifuatavyo:<br />

“Enyi Watu! Allah amenituma kuwa Rehema kwa<br />

Wanaadamu na kuwa Mtume wa Ulimwengu mzima. Kwa<br />

hiyo linganieni Uislamu kwa niaba yangu na Allah<br />

atakurehemuni. Kwa hiyo nakuusieni msifarikiane kama<br />

(watu wa) Isa mwana wa Maryamu”.<br />

121

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!