08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio<br />

pamoja naye ni wenye nyoyo thabiti mbele ya makafiri na<br />

wenye kuhurumiana wao kwa wao. Utaona wakiinama kwa<br />

kurukuu na kusujudu (pamoja), wakitafuta fadhila za<br />

Mwenyezi Mungu na radhi (yake). Alama zao zi katika nyuso<br />

zao, kwa taathira (athari) ya kusujudu. Huu ndio mfano wao<br />

katika Taurati. Na mfano wao katika Injili (umetajwa hivi):<br />

Kuwa (wao) ni kama mmea uliotoa matawi yake; kisha<br />

(matawi hayo) yakautia nguvu; ukawa mnene ukasimama<br />

sawasawa juu ya kigogo chake, ukawafurahisha<br />

waliupanda; ili awakasirishe makafiri kwa ajili yao.<br />

Mwenyezi Mungu amewaahidi walioamini na kutenda mema<br />

katika wao msamaha na ujira mkubwa.” (48:29).<br />

Hivyo, kwa kuwa lengo la kulingania Uislamu ni kupata<br />

umma mmoja wenye nguvu ya kuamrisha mema na kukataza<br />

maovu na hatimaye kusimamisha Uislamu katika jamii, suala la<br />

kulingania lazima lifanywe ki umma kama Allah (s.w)<br />

anavyohimiza:<br />

123

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!