08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Na wawepo katika nyinyi umma(kundi la watu )wanaolingania<br />

kheri (Uislamu) na wanao amrisha mema na wanaokataza maouvu.<br />

Na hao ndio watakaotengenekewa” (3:104)<br />

Vikundi vya harakati vilivyoundwa kwa kutekeleza agizo hili<br />

la Allah (s.w) havinabudi kujipamba na sifa zilizo ainishwa katika<br />

Qur’an na Sunnah.<br />

Miongoni mwa sifa za msingi zilizoainishwa ni hizi zifuatazo:<br />

Kila mwanakundi binafsi awe amejipamba na sifa za<br />

Mwanaharakati.<br />

Wanakundi wawe na mshikamano wa udugu na upendo.<br />

Wawe ni wenye kushauriana.<br />

Pawe na nidhamu.<br />

Kujikosoa na kujitathmini.<br />

Kujiepusha na ria.<br />

Kujiepusha na majivuno na kujiona.<br />

Kuwa na Hekima.<br />

Kuwa na Subira .<br />

(Rejea Sura ta Nne ya juzuu hii)<br />

Vikundi vya kulingania Uislamu vyenye kujipamba na sifa<br />

hizi za msingi, hatakama vitakuwa katika mazingira<br />

yaliyotofautiana kijiografia au kisiasa, vitakuwa vinalingania<br />

Uislamu mmoja ule ule alioulingania Mtume (s.a.w) na<br />

maswahaba zake, na hatima ya ulinganizi huu ni kupata Umma<br />

mmoja wenye nguvu kwa ulimwengu mzima.<br />

124

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!