08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mlinganiaji kuwa kiigizo kwa tabia inasisitizwa katika aya<br />

zifuatazo:<br />

Enyi mlioamini! Mbona, (kwa nini) mnasema<br />

msiyoyatenda? Ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi<br />

Mungu kusema msiyoyatenda. (61:2-3)<br />

(ix) Kupuuza Mabaya, ni pamoja na kutojali au<br />

kutokatishwa tamaa na mabaya unayofanyiwa na maadui wa Uislamu.<br />

Pia amri hii ya kupuuza mabaya ni pamoja na kujiepusha kuyafanya,<br />

kutoyathamini maovu hatakama yanafanywa na watu maarufu na<br />

kuyachukia. Kupuuza mabaya ni nyenzo nyingine muhimu katika<br />

kusimamisha Uislamu. Kama muumini hatakuwa na tabia ya kupuuza<br />

mabaya anayofanyiwa na maadui wa harakati za kusimamisha<br />

Uislamu, atafikishwa mahali pa kumkatisha tamaa na kususa harakati.<br />

(x) Kufanya ihsani kwa ajili tu ya kutafuta radhi<br />

za Allah (s.w), ni amri inayowataka wanaharakati wa kuhuisha<br />

na kusimamisha Uislamu katika jamii wasitegemee malipo ya kazi<br />

hii kutoka kwa watu bali wategemee malipo yao kutoka kwa Allah<br />

(s.w). Kazi ya kusimamisha Uislamu katika jamii, Allah (s.w)<br />

ameifananisha na biashara kati yake na waumini ambapo waumini<br />

wanamuuzia Allah (s.w) mali zao na nafsi zao, naye Allah awalipe<br />

malipo makubwa yanayobainishwa katika aya zifuatazo:<br />

57

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!