08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Baada ya Amina bint Hassan kufariki na kuacha shs.<br />

20,000,000 na warithi wafuatao:<br />

(i) Mumewe – 1 / 4 ya mali ya urithi,<br />

(ii) Mama mzazi – 1 / 6 ya mali ya urithi,<br />

(iii)Watoto watatu wa kiume watakaogawana mali<br />

itakayobakia baada ya kutoa fungu la baba na bibi yao;<br />

mgawie kila muhusika haki yake ya urithi.<br />

(v) Kuleta Mazingatio ya Allah (s.w) Kupitia<br />

Mada Unazo Fundisha.<br />

Mwalimu Muislamu anatakiwa ajitahidi kuwawezesha<br />

wanafunzi wake kumjua Allah (s.w) na kumcha ipasavyo kupitia<br />

mada mbalimbali za somo lake. Kwani Allah(s.w),<br />

anatufahamisha kuwa, watu wanaozama katika fani mbalimbali za<br />

elimu ya mazingira, ndio wanaoweza kumfahamu vilivyo na<br />

kumuabudu inavyostahiki:<br />

Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha maji toka mawinguni!<br />

Na kwayo Tumeyatoa matunda yenye rangi mbali mbali. Na katika milima<br />

imo mistari myeupe na myekundu yenye rangi mbali mbali, na (mingine)<br />

myeusi sana. Na katika watu na wanyama wanaotambaa na wanyama<br />

(wengine), pia rangi zao ni mbali mbali. Kwa hakika wanaomwogopa<br />

Mwenyezi Mungu miongoni mwa waja Wake ni wale wataalamu<br />

(wanavyuoni). Bila shaka Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu,<br />

Msamehevu” (35:27-28)<br />

215

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!