08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(vii)Kuzidhibiti taasisi kubwa za kimataifa zitakazotumika<br />

kusimamia maslahi ya Waislamu Ulimwenguni kote.<br />

(viii)Kuvuruga na kubomoa maadili ya jamii kupitia mifumo ya<br />

elimu.<br />

(ix) Kumiliki vyombo vyote vya habari<br />

(x) Kusababisha umaskini kwa wananchi hasa katika nchi za<br />

ulimwengu wa tatu.<br />

(xi) Kupiga vita taasisi ya familia na kuyafanya maisha ya ndoa<br />

kuwa si kutu cha maana.<br />

Mbinu za Wakristo<br />

Mbinu kubwa wanayoitumia Wakristo ni kuwaghilibu<br />

Waislamu kwa kuunga nao urafiki wa kinafiki ili waweze<br />

kupenyeza mila zao ndani ya jamii ya Waislamu. Jamii ya<br />

Waislarnu wa leo imeathiriwa mno na mila za Kikristo baada ya<br />

Waislamu kuwakumbatia Wakristo, licha ya tahadhari aliyotupa<br />

Allah (s.w):<br />

Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo<br />

mpaka ufuate mila yao. Sema: “Hakika uongozi wa<br />

Mwenyezi Mungu ndio uongozi (khasa). Na kama ukifuata<br />

matamanio yao baada ya yale yaliyokufikia ya ujuzi (wa<br />

kweli) hutapata msaidizi yoyote wala mlinzi kwa Mwenyezi<br />

Mungu”. (2:120)<br />

Miongoni mwa mbinu na mikakati ya Wakristo, dhidi ya<br />

Uislamu inadhihirika vizuri kwenye taarifa ya utafiti uliofanywa na<br />

Profesa A. B. Kasozi wa huko Canada na kuchapishwa 1989.<br />

Miongoni mwa mengi yaliyomo katika taarifa hiyo ni kwamba<br />

Wakristo kuanzia 1900 waliandaa mkakati wa kuhakikisha kuwa<br />

Uislamu unatoweka barani Afrika.<br />

144

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!