08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Na Manabii wangapi walipigana na maadui, na pamoja nao<br />

kulikuwa na watakatifu wengi.Hawakulegea kwa yale<br />

yaliyowasibu katika njia ya -Mwenyezi Mungu, wala<br />

hawakudhoofika wala hawakudhalilika.Na Mwenyezi<br />

Mungu anawapenda wafanyao subira (3: 146)<br />

Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, na hali hamjajiwa na<br />

mfano wa (yale yaliyowajia) wale waliopita kabla yenu?<br />

Yaliwapata mashaka na madhara na wakatetemeshwa sana<br />

hata Mitume na walioamini pamoja nao wakasema:<br />

“Nusura ya Mwenyezi Mungu itafika lini?” Jueni kuwa<br />

nusura ya Mwenyezi Mungu iko karibu. (2:214).<br />

Je! Mnadhani mtaingia Peponi, hali Mwenyezi Mungu<br />

hajawapambanua wale waliopigania dini ya Mwenyezi Mungu<br />

miongoni mwenu, na kuwapambanua waliofanya subira?<br />

(Sharti yaonekane kwanza haya hapa ulimwenguni). (3:142).<br />

(v) Kuwa mvumililivu juu ya maudhi ya kila namna<br />

yanayotolewa na maadui wa Uislamu. Historia inatuonesha kuwa<br />

maadui wa Uislamu kabla hawajafikia hatua ya kuuzuia Uislamu kwa<br />

nguvu, huanza mapambano yao kwa maneno ya kashfa na dharau na<br />

kueneza propaganda za uongo dhidi ya Uislamu na Waislamu. Kwa mfano<br />

74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!