08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na<br />

mali zao (watoe nafsi zao na mali zao katika kupigania<br />

Dini) ili na yeye awape Pepo. Wanapigana katika njia ya<br />

Mwenyezi Mungu; wanaua na wanauawa. Hii ndiyo<br />

ahadi aliyojilazimisha (Mwenyezi Mungu) katika Taurati<br />

na Injili na Qur-an. Na ni nani atekelezaye zaidi ahadi<br />

yake kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa<br />

biashara yenu mliyofanya naye (Mwenyezi Mungu). Na<br />

huko ndiko kufuzu kukubwa. “(9:111)<br />

Enyi mlioamini! Je! Nikujulisheni biashara<br />

itakayokuokoeni na adhabu iumizayo?<br />

(Biashara yenyewe ni hii) Muaminini Mwenyezi<br />

Mungu na Mtume wake, na piganieni Dini ya<br />

Mwenyezi Mungu kwa mali zenu na nafsi zenu.<br />

Haya ni bora kwenu ikiwa mnajuwa (61:10-11)<br />

(xi) Kufanya Subira kwa ajili ya Allah, ni nyenzo<br />

nyingine ya msingi itakayowawezesha Waumini kusimamisha<br />

Uislamu katika jamii. Katika harakati za kusimamisha Uislamu katika<br />

jamii, kuna kero na bughudha nyingi zinazoandaliwa na kusimamiwa<br />

na wapinzani wa Uislamu. Ukirejea historia ya Mtume (s.a.w), kero<br />

hizi huanza na kujenga mazingira ya kukatisha tamaa. Katika<br />

mazingira hayo, Mtume (s.a.w) aliitwa mwongo, mwenda wazimu,<br />

mtunga mashairi, mchawi, aliyepagawa, mkatikiwa na kheri (Abtari),<br />

n.k.<br />

Katika mazingira ya sasa makafiri wanajitahidi kuwa katisha<br />

tamaa wanaharakati kwa kuwaita siasa kali (fundamentalist),<br />

58

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!