08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kulingania Uislamu na kuusimamisha katika jamii hana budi<br />

kujipamba na tabia njema iliyoelekezwa katika Quran na<br />

kufafanuliwa kwa nadharia na vitendo na Mtume (s.a.w).<br />

Ifahamike wazi kuwa mtu muovu (fasiq) kamwe hawezi<br />

kufanikiwa katika kazi hii takatifu, kazi ya Mitume wa Allah (s.w).<br />

Atakayefanikiwa ni yule atakayejisalimisha ki kwelikweli kwa Allah<br />

(s.w) kwa maneno yake na matendo yake kama<br />

tunavyofahamishwa katika Quran:<br />

“Nani asemaye kauli bora zaidi kuliko yule aitaye(watu)<br />

kwa Allah na mwenyewe akafanya uitendo uizuri na husema<br />

(kwa maneno yake na uitendo uyake) hakika mimi ni<br />

miongoni mwa Waislam”. (41:33)<br />

Katika maisha yetu ya kila siku tunaona kuwa kazi zote<br />

muhimu na nzito katika jamii kama vile uongozi wa nchi, urubani<br />

wa ndege, uhandisi, udaktari n.k huendeshwa na watu wenye sifa<br />

zinazostahiki. Sifa hizi zinapatikana baada ya kisomo cha muda<br />

mrefu na uzoefu mwingi. Kazi ya Harakati za kulingania Uislamu<br />

ni kazi muhimu, nyeti na nzito kuliko zote katika jamii. Ni kazi ya<br />

kuiokoa jamii kutokana na matatizo ya kila aina na kuiongoza<br />

kwenye njia ya maisha iliyonyooka ambayo ndiyo pekee<br />

itakayoiwezesha jamii hiyo kuishi maisha ya amani na furaha.Bila<br />

jamii kuifahamu njia hii na kuifuata vilivyo, maisha ya furaha na<br />

amani hapa ulimwenguni na ya huko akhera huwa ni ndoto.Hivyo<br />

ili Harakati za kulingania Uislamu zifanikiwe Wanaharakati<br />

hawana budi kuwa na sifa zinazostahiki.<br />

63

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!