08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Zoezi la Nne<br />

1. (a) Ni lipi kundi la harakati ?<br />

(b) Kwa kurejea Qur’an bainsiha Umuhimu wa kuwepo<br />

kundi la Harakati.<br />

2. “Na wawepo katika nyininyi watu wanaolingania<br />

kheri(uislamu) na wanaomrsisha mema na kukataza maovu<br />

na hao ndio watakaotengenekewa” (3:104)<br />

(a) Kwa mujibu wa aya hii inaonesha kuwa si kila<br />

muislamu atajiunga na kundi la Harakati. Kwa nini?<br />

(b) Ni zipi kazi kuu za kundi la Harakati ?<br />

3. Chambua sifa za kundi la Harakati.<br />

4. Toa hoja tano (5) za msingi kuonesha kwanini makundi<br />

mengi yanayojiita ya “harakati” yanasambaratika baada<br />

ya miaka michache tu ya kuundwa kwake.<br />

5. Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja<br />

naye ni wenye nyoyo thabiti mbele ya makafiri na wenye<br />

kuhurumiana wao kwa wao. utawaona wakiinama kwa<br />

kurukuu na kusujudu(pamoja),wakitafuta fadhila za Mwenyezi<br />

Mungu na radhi (yake). Alama zao zi katika nyuso zao kwa<br />

taathira (athari) ya kusujudu. huu ndio mfano wao katika<br />

Taurati. Na mfano katikia Injili(umetajwa hivi): kuwa (wao) ni<br />

kama mmea uliotoa matawi yake; kisha (matawi hayo)<br />

yakautia nguvu, ukawa mnene ukasimama sawasawa juu ya<br />

kigogo chake, ukawafurahisha walioupanda; ili Awakasirishe<br />

makafiri kwa ajili yao. Mwenyezi Mungu amewaahidi<br />

walioamini na kutenda mema katika wao msamaha na ujira<br />

mkubwa. (48:29)<br />

114

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!