08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

1. Kusimama kwa swala ya usiku kwa kitambo kirefu –<br />

kati ya saa 4 au theluthi ( 1 / 3 ) hadi saa 8 au theluthi mbili<br />

( 2 / 3 ) za usiku.<br />

2. Kusoma Qur-an kwa mazingatio.<br />

3. Kumdhukuru au kumkumbuka Allah (s.w) kila wakati.<br />

4. Kujitupa kwa Allah kikweli.(kumtii Allah kwa unyenyekevu)<br />

5. Kumfanya Allah kuwa mlinzi (wakili) pekee.<br />

6. Kufanya subira juu ya yale wayasemayo makafiri na<br />

kuwaepuka mwepuko mwema.<br />

Imebainishwa wazi kuwa Mtume (s.a.w) amepewa amri hizi<br />

ili iwe maandalizi ya kupokea kauli nzito. Kauli nzito si nyingine<br />

ila lile lengo aliloletwa kwalo la kusimamisha Uislamu katika jamii.<br />

Yeye ndiye aliyemleta Mtume wake kwa uongofu na Dini ya<br />

haki ili aijaalie kushinda (Dini hii) Dini zote, ijapokuwa<br />

watachukia hao washirikina. “(9:33)<br />

Kuchukia kwa washirikina kunaashiria mapambano.<br />

(iii) Suratul-Muddaththir (74:1-7)<br />

Ewe uliyejifunika maguo. Simama uonye (viumbe). Na<br />

Mola wako umtukuze. Na nguo zako uzisafishe. Na Mabaya<br />

yapuuze, (endelea kuyapuuza). (74:1-6)<br />

52

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!