08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Enyi wanaadamu! Shetani asikutieni katika matata, kama<br />

alivyowatoa wazee wenu katika Pepo, akawavua nguo zao<br />

ili kuwaonyesha tupu zao. Hakika yeye pamoja na wafuasi<br />

wake wanakuoneni, na hali ya kuwa hamuwaoni. Bila<br />

shaka sisi tumewajaalia Mashetani kuwa marafiki wa wale<br />

wasioamini. (7:27)<br />

..............<br />

Enyi mlioamini – msifuate nyayo za Shetani, na<br />

atakayefuata nyayo za shetani (atapotea) kwani yeye<br />

huamrisha mambo ya aibu na maovu............... (24:21).<br />

Enyi mlioamini! Ingieni katika Uislamu wote, wala<br />

msifuate nyayo za shetani, kwa hakika kwenu ni adui<br />

dhahiri. (2:208)<br />

Kufanya jambo lolote lile kinyume na maamrisho na<br />

makatazo ya Allah (s.w) ndio kufuata nyayo za shetani na<br />

kumfanya shetani rafiki. Kwa maana pana, Shetani ni yeyote yule<br />

au chochote kile kinachokushawishi kuvunja maamrisho ya Allah<br />

(s.w). Kwa maana hii Mashetani si katika majini tu bali hata watu<br />

wanaweza kuwa mashetani endapo watajiingiza katika kuwapoteza<br />

watu katika njia ya Allah (s.w). Hebu tuzingatie aya ifuatayo:<br />

158

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!