08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kusimamisha Ukhalifa wa Allah (s.w) katika ardhi ni jukumu<br />

zito na ameliweka hili bayana wakati alipokuwa anamkabidhi<br />

Mtume (s.a.w) jukumu hili la kuutawalisha Uislamu juu ya Dini<br />

zote (Mifumo yote ya Maisha); pale alipomwambia:<br />

“Hakika sisi tutakuteremshia kauli nzito” (73:5)<br />

Hivyo mwanaharakati yeyote aliyeazimia kuchukua jukumu<br />

hili la kuusimamisha Uislamu katika jamii hanabudi kuwa na ujuzi<br />

sahihi juu ya Uislamu na juu ya Mbinu za kuulingania.<br />

Mbinu za Kulingania Uislamu<br />

Mbinu za Msingi za kulingania na kusimamisha Uislamu<br />

katika jamii zimeainishwa katika aya ifuatayo:<br />

“Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hikima na<br />

mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora.<br />

Hakika Mola Wako ndiye anayemjua aliyepotea katika njia<br />

yake, Naye, ndiye Anayewajua walioongoka”. (16:125)<br />

Kutokana na aya hii tunajifunza Mbinu zifuatazo:<br />

1. Kuwepo Mlinganiaji Mwenye sifa stahiki<br />

Mlinganiaji au mwitaji watu kwa Dini ya Allah (s.w)<br />

atakayeweza kuifanya kazi hii kwa ufanisi ni yule atakaye kuwa na<br />

sifa zilizoainishwa katika aya ifuatayo:<br />

119

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!