08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(Anasema Mwenyezi Mungu kuwaambia wanaadamu tangu<br />

hao wa zamani huko): Enyi wanaadamu! Hakika<br />

tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu na nguo za<br />

pambo; na nguo za utawa (yaani kumcha Mungu) ndizo<br />

bora”. Hayo ni katika ishara za (neema za) Mwenyezi<br />

Mungu ili wapate kukumbuka.(7:26)<br />

“Enyi wanaadamu. Shetani (Iblisi) asikutieni katika matata. Kama<br />

alivyowatoa wazee wenu katika Pepo; akawavua nguo zao ili<br />

kuwaonyesha tupu zao. Hakika yeye pamoja na kabila yake<br />

wanakuoneni, na hali ya kuwa hamuwaoni”. Bila shaka sisi<br />

tumewajaalia shetani kuwa marafiki kwa wale wasioamini. (7:27).<br />

Tukizingatia aya hizi kwa makini mambo yafuatayo<br />

yanajitokeza:<br />

Kwanza, Shetani alilaaniwa kwa sababu ya kukataa kutii<br />

amri ya Allah (s.w). Na alikataa kwa sababu alijidhani kuwa yu<br />

bora kuliko binaadam. Ubora huo aliuhusisha na kabila lake. Yaani<br />

yeye ni jinni na viumbe wa kabila la majini wameumbwa kwa moto<br />

na viumbe wa kabila la binadamu wameumbwa kwa udongo.<br />

Moto, alihisi iblisi, ni bora kuliko udongo, hivyo alikataa kutii<br />

amri ya Mola wake.<br />

Mtu kulitukuza kabila lake, au rangi yake, au nasaba yake au<br />

taifa lake na wakati huo huo kulibeza kabila, rangi, nasaba au taifa<br />

la mwenzake ni katika mwenendo wa shetani. Ni kibri kisichokuwa<br />

na msingi wowote na matokeo ya fikra hizi za kishetani yamekuwa<br />

ni chuki, bughudha na umwagaji damu usiokwisha katika dunia.<br />

Watu wengi wamedhulumiwa na wanaendelea kuteseka na hata<br />

164

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!