08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Enyi mlioamini! Bila shaka ulevi na kamari na kuabudiwa<br />

(na kuombwa) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, na kutazamia<br />

kwa mishare ya kupigia ramli (na kwa vinginevyo); (yote<br />

haya) ni uchafu (ni) katika kazi ya Shetani. Basi jiepusheni<br />

navyo, ili mpate kufaulu (kutengenekewa). (5:90)<br />

Hakika Shetani anataka kukutilieni uadui na bughudha<br />

baina yenu kwa ajili ya ulevi na kamari na anataka<br />

kukuzuilieni kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kusali. Basi<br />

je, mtaacha (mabaya hayo)? (5:91)<br />

Matwaghuti huita maovu hayo kuwa ni njia za uchumi<br />

endelevu na huwasakama waumini wanaopiga vita maovu haya na<br />

kuwapachika majina ya siasa kali, magaidi mujahidina,n.k.<br />

Nuru, katika aya (2:257) inaashiria maisha ya utulivu, furaha<br />

na amani, ambapo giza, linaashiria maisha ya khofu, dhuluma na<br />

machafuko ya kijamii ya aina mbali mbali. Hivyo, kutokana na aya<br />

hii tunajifunza kuwa utulivu, furaha na amani halisi vitapatikana<br />

katika jamii pale tu Waislamu watakapochukua hatamu za uongozi<br />

wa jamii au pale tu Waislamu watakapo chukua nafasi yao ya<br />

Ukhalifa.<br />

(iii)Waumini kuweza kuamrisha mem na<br />

kukataza maovu<br />

Pia Waislamu wanapochukua hatamu ya uongozi wa jamii,<br />

hudumisha mazingira ya utulivu na amani kwa kufanya kazi ya<br />

ziada ya kuwaamrisha watu kufanya mema yenye manufaa na jamii<br />

na kuwakataza kufanya maovu yenye kuihilikisha jamii.<br />

Majukumu makuu ya viongozi wa Kiislamu yameainishwa katika<br />

aya ifuatayo:<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!