08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mwanaharakati hana budi kujiepusha mbali na maneno ya<br />

kishetani ya wale wahubiri wasemao “Tusikilizeni na kufuata<br />

maneno yetu lakini msifuate matendo yetu”. Kwa kawaida<br />

mwanaadam huvutiwa zaidi na vitendo vya mtu kuliko maneno<br />

yake. Kwa hiyo maneno yanayopingana na matendo ya mlinganiaji<br />

yanakuwa chukizo kubwa mbele ya Allah (s.w) na wasikilizaji.<br />

4. Kusimamisha Uislamu kuwe ndio lengo kuu<br />

la maisha.<br />

Mwanaharakati wa Kiislamu hana budi kufahamu nafasi ya<br />

waumini katika jamii kuwa ni makhalifa wa Allah (s.w). Hivyo lengo<br />

kuu la kila muumini ni kusimamisha Uislamu katika jamii,<br />

kuuendeleza na kuulinda. Endapo Muislamu atajiwekea malengo<br />

mengine ya maisha au akazifanya shughuli zake za kutafuta maslahi ya<br />

maisha ya dunia kuwa ndio lengo kuu la maisha yake, basi ajue kuwa<br />

amestahiki ghadhabu za Allah(s.w) kama inavyobainishwa katika aya<br />

ifuatayo:<br />

“Sema: kama baba zenu na wana wenu na ndugu zenu na wake<br />

zenu na jamaa zenu na mali mlizochuma na biashara<br />

mnazoogopa kuharibikiwa na majumba mnayoyapenda (ikiwa<br />

vitu hivi) ni vipenzi zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu na<br />

Mtume wake na kupigania Dini yake, basi ngojeni mpaka<br />

Mwenyezi Mungu alete Amri yake. Na Mwenyezi Mungu<br />

hawaongozi watu maasi. “(9:24)<br />

Muislamu wa kweli hatakiwi akathamini kitu chochote au jambo<br />

lolote lisilomfikisha kwenye kusimamisha Uislamu na kuudumisha<br />

69

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!