08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Enyi mlioamini! Ingieni katika hukumu za Uislamu zote,<br />

wala msifuate nyayo za Shetani; kwa hakika yeye kwenu ni<br />

adui dhahiri. (2:208)<br />

Waumini wataweza kumtii Allah (s.w.) katika kila kipengele<br />

cha maisha ya jamii pale tu watakapochukua hatamu za uongozi wa<br />

jamii. Kihalisia, waumini kuchukua hatamu za uongozi wa jamii si<br />

jambo la lele mama. Daima viongozi wa kitwaaghut (kikafiri)<br />

hawako radhi kuwaachia (kuwaridhia) Waumini uongozi wa jamii<br />

kwa kuchelea kukosa maslahi yao waliyokuwa wakiyapata kwa njia<br />

ya kuwadhulumu raia zao. Hivyo, historia inaonesha kuwa hapana<br />

njia ya mkato na nyepesi kwa waumini kuchukua uongozi wa jamii<br />

ila kwa mapambano makali dhidi ya uongozi wa kitwaaghut<br />

(kikafiri) uliopo madarakani. Hii ndio mantiki ya Allah (s.w.)<br />

kuwaamrisha waumini kupigana na makafiri:<br />

“Na piganeni nao (makafiri) mpaka kusiwe na mateso (wao<br />

kuwatesa Waislamu bure) na dini iwe kwa ajili ya Mwenyezi<br />

Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiwepo uadui ila kwa<br />

madhalimu”. (2: 193).<br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!