08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(v) Kuvuruga maadili mema kwa kusamabaza picha,<br />

filamu, vitabu, majarida na magazeti yenye watu walio<br />

uchi ili kuchochea zinaa.<br />

(vi) Kuondosha sheria zote zinazokataza ufuska au<br />

maandishi machafu.<br />

(vii)Kupiga vita taasisi ya familia.<br />

(viii)Kuhimiza watoto walelewe katika vituo vya watoto ili<br />

wasiathiriwe na mafunzo na malezi ya wazazi wao.<br />

(ix)Kuwafanya watu waione tabia ya uasherati na<br />

kulawitiana kuwa ni jambo la kawaida.<br />

(x)Kufuta swala au ishara yoyote ya Ibada maalumu<br />

katika shule.<br />

Hizi ni baadhi tu ya mbinu zilizoandaliwa na zinazotumiwa<br />

na makafiri katika kuwahujumu Waumini. Ukiziangalia kwa<br />

makini mbinu hizi utaona kuwa makafiri si maadui wa mchezo na<br />

ni hatari iliyoje kuwafanya marafiki. Ndio maana katika aya<br />

chungu nzima Allah (s.w) ametukataza tusiwatii makafiri.<br />

E n y i m l i o a m i n i ! I k i w a m t a w a t i i w a l i o k u f u r u<br />

watakurudisheni nyuma (katika ukafiri) na mtakuwa wenye<br />

kukhasirika. “(3:149)<br />

Lengo la Makafiri ni kuwafanya waumini wawe makafiri<br />

kama wao.<br />

138

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!