08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Na katika watu, wako (wanafiki) wasemao: “Tumemwamini<br />

Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho”; na hali ya kuwa wao si<br />

wenye kuamini.(2:8)<br />

Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale<br />

walioamini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao<br />

hawatambui.(2:9)<br />

Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu<br />

amewazidishia maradhi) Basi watakuwa na adhabu iumizayo<br />

kwa sababu ya kule kusema kwao uwongo.(2:10)<br />

Na wanapoambiwa “Msifanye uharibifu ulimwenguni.”<br />

Husema: “Sisi ni watengezaji.” (2:11)<br />

Hakika wao ndio waharibuji, lakini hawatambui.(2:12)<br />

Na wanapoambiwa:“Aminini kama walivyoamini watu,”<br />

husema: “Oh! Tuamini kama walivyoamini wale<br />

wapumbavu?” Hakika wao ndio wapumbavu lakini<br />

hawajui.(2:13)<br />

148

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!