08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Hongo, Dhulma, Ulevi, n.k. Huo ni mfano mmoja tu wa uchumi, kuna<br />

masuala ya Sheria na Hukumu za Kijahili, Utamaduni wa Kijahili,<br />

Siasa za Kitwaghuti na mifumo mingine ya Kitwaghuti katika kila fani<br />

ya maisha ya jamii.<br />

Kutokana na hali hii ipo haja ya kuusimamisha Uislamu<br />

katika jamii ili kuwawezesha Waislamu kukiendea kila kipengele<br />

cha maisha ya kibinafsi na kijamii kwa kufuata baraabara<br />

muongozo wa Qur-an na Sunnah.<br />

Kazi ya kusimamisha Uislamu katika jamii haiwezi kamwe<br />

kufanikishwa na nguvu ya mtu mmoja mmoja. Mitume wa Allah<br />

(s.w) hawakuweza wao wenyewe kufanikisha mpaka walipopata<br />

wafuasi waliosaidiana nao bega kwa bega. Hivyo jukumu la<br />

kuusimamisha na kuuendeleza Uislamu liko juu ya mabega ya<br />

waumini wote katika jamii.<br />

Waislamu wataweza kutekeleza jukumu hili endapo tu<br />

watakuwa wameungana pamoja na kuwa umma mmoja au endapo<br />

tu watatekeleza amri ya Allah (s.w) ifuatayo:<br />

....................<br />

“Na shikamaneni kwa kamba (dini) ya Allah nyote wala<br />

msifarikiane…” (3:103)<br />

Bila shaka Waislamu wakitekeleza hili watakuwa umma<br />

wenye nguvu na uwezo wa kusimamisha Uislamu katika jamii<br />

kama Allah (s.w) anavyotuthibitishia:<br />

..................<br />

“Nyinyi ndio umma bora kuliko umma zote<br />

zilizodhihirishiwa watu (ulimwenguni) mnaamrisha yaliyo<br />

mema na mnakataza yaliyo maovu na mnamwamini<br />

Mwenyezi Mungu...........” (3:110)<br />

82

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!