08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kwa ukweli huo Mwenyezi Mungu angeweza kutoa amri ya<br />

gharika iwaangamize wale waovu na kwa Rehema zake, waongofu<br />

wasalie bila kupata taabu ya kutengeneza Jahazi. Lakini tukisoma<br />

katika Qur-an (11:37-41) tunaona jinsi Mwenyezi Mungu<br />

alivyoweka mpango (plan) ya kuwaokoa walioamini na baadhi ya<br />

viumbe ili uhai uendelee baada ya gharika. Mwenyezi Mungu<br />

katika hatua ya awali alimwambia Nuhu:<br />

Na unda jahazi mbele ya macho yetu na (iwe sawa) na amri yetu.<br />

Wala usinisemeze kuwasamehe wale waliodhulumu nafsi zao.<br />

Kwa yakini wao watazamishwa. (11:37)<br />

Ilipofika siku ya gharika; Mwenyezi Mungu aliamrisha ardhi<br />

itowe maji kisha akamwamrisha Nabii Nuhu (a.s) awapakie<br />

jahazini waliopata Nusura yake:<br />

Hata ilipofika amri yetu, ardhi ikaanza kufoka maji tulimwambia:<br />

“Pakia humo (jahazini) jozi moja katika kila (wanyama); jike na<br />

dume, na (wapakie) watu wako wa nyumbani kwako isipokuwa<br />

wale ambao imewapitia hukumu (ya Mwenyezi Mungu). Na<br />

wachukue wote walioamini”. (11:40)<br />

Na akasema (Nuhu): “pandeni humo kwa jina la Mwenyezi<br />

Mungu kuwe kwenda kwake na kusimama kwake.Hakika Mola<br />

wangu ni msamehevu na mrehemevu. (11:41)<br />

177

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!