08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(vi) Yaliyotolewa kwa kutumia lugha ya msikilizaji. Ni<br />

katika uzembe na ukosefu wa hekima kuwafikishia watu<br />

ujumbe kwa lugha wasiyoifahamu. Kwa mfano, ni<br />

uzembe wa hali ya juu kutumia lugha ya kiarabu<br />

kuwafikishia ujumbe watu wasiojuwa kiarabu.<br />

Ulinganiaji wa namna hiyo ni kama kutwanga maji<br />

kwenye kinu. Ni katika Sunnah ya Allah (s.w)<br />

kuwafikishia watu ujumbe wa Uislamu kwa lugha zao<br />

kupitia kwa Mtume anayetokana na wao kama<br />

tunavyojifunza katika Qur’an:<br />

‘’Hatukumpeleka Mtume yeyote isipokuwa kwa lugha ya<br />

watu wake ili apate kuwabainishia (vizuri). Kisha Mwenyezi<br />

Mungu anamuacha kupotea amtakaye (kwa kuwa mwenyewe<br />

hataki kuongoka) na kumuongoza amtakaye (kwa kuwa<br />

mwenyewe yuko tayari kuiendea njia ya uongofu).<br />

Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.” (14:4)<br />

Kwa mnasaba wa aya hii ilibidi Mtume (s.a.w) ashushiwe<br />

Qur’an kwa lugha ya Kiarabu cha Kiquraish ili apate kuwabainishia<br />

jamaa zake wa karibu (Maquraish) ambao walipaswa kusaidiana<br />

naye kuufikisha ujumbe huo kwa walimwengu wote. Mtume (s.a.w)<br />

angeshushiwa Qur’an kwa lugha isiyo ya kiarabu, ingelikuwa ni<br />

sababu tosha ya jamaa zake kumkataa kama Allah (s.w)<br />

anavyotubainishia:<br />

130

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!