08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Tuchukulie mfano wa jumuiya ya Kiislamu iliyoamua<br />

kujenga shule ya awali zahanati na kuwa na mfuko wa kuwasaidia<br />

vijana na akina mama. Tuangalie utekelezaji wa mipango hiyo kwa<br />

kujibu maswali manane.<br />

(1) Nini lengo la mipango hiyo:<br />

(a) Shule ya awali: kuwapa watoto malezi bora ya<br />

Kiislamu.<br />

(b) Zahanati: kutoa huduma za afya kwa Waislamu na<br />

watu wengine.<br />

(c)Mfuko wa Misaada ya kiuchumi: kuwapa vijana na<br />

akinamama wa Kiislamu nguvu za kiuchumi ili waweze<br />

kujitegemea.<br />

(2) Kwanini malengo hayo ni muhimu?<br />

Kujenga jamii yenye maadili ya Kiislamu na<br />

inayojitegemea kwa huduma za afya na kiuchumi.<br />

(3) Nani watekelezaji na watakaonufaika na mipango hiyo:<br />

(a) Shule ya awali: Watoto wa Waislamu waishio jirani na<br />

shule.<br />

(b) Zahanati: Waislamu na watu wengine.<br />

(c) Mfuko wa misaada: Vijana na akinamama wa<br />

Kiislamu wenye kuupigania Uislamu lakini wasio na<br />

kipato cha kumudu maisha yao.<br />

Katika kujibu swali hili, jumuiya inayohusika ni lazima pia<br />

ionyeshe watu watakaohusika kusimamia kila mradi na<br />

majukumu ya kila mmoja wao.<br />

(4) Vipi au malengo yatafikiwaje? Hapa ni lazima<br />

ionyeshwe mipango yote ya kiutekelezaji mfano:<br />

Utafutaji wa kiwanja. Ukusanyaji wa fedha, ununuzi wa<br />

vifaa, upatikanaji wa wataalamu na usimamizi kwa ujumla.<br />

174

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!