08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Sura ya Tano<br />

MBINU ZA KULINGANIA NA KUSIMAMISHA<br />

USIALMU KATIKA JAMII<br />

Dhana ya kulingania Uislamu<br />

“Da’awah” ni neno la kiarabu lenye maana ya Wito. “Da’aaa<br />

ila llaah” “kuwaita watu kwa Allah”<br />

“Na ni nani asemaye kauli bora zaidi kuliko (yule) aitaye<br />

kwa Mwenyezi Mungu, na (mwenyewe) akafanya vitendo<br />

vizuri na kusema (kwa maneno yake na vitendo vyake)<br />

Hakika mimi ni miongoni mwa Waislamu” (41:33)<br />

Hivyo tunaweza kusema, Da’awah kwa mujibu wa harakati za<br />

kusimamisha Uislamu katika jamii, ni kitendo cha kulingania<br />

Uislamu kwa watu au kuwaita watu waje kwenye Uislamu.<br />

Kulingania Uislamu kwa watu ni kufikisha Uislamu sahihi kwa<br />

watu ambao hawajaufahamu ili waufahamu na wahamasike kiasi<br />

cha kuwa tayari kuufuata katika maisha yao ya kila siku na<br />

hatimaye kuusimamisha katika jamii.<br />

Hivyo “Da’iyah” au mlinganiaji atakuwa amefanikiwa katika<br />

kazi ya “Da’awah” pale atakapokuwa amewafikishia watu ujumbe<br />

sahihi wa Uislamu utakaowawezesha kufuata Uislamu vilivyo<br />

katika kila kipengele cha maisha yao na kuwapa ari na hamasa ya<br />

kuutawalisha katika jamii.<br />

116

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!