08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Katika khutuba hii tunaona Mtume (s.a.w) akiwausia<br />

waumini kuwa na mshikamano, na kuwatahadharisha juu ya<br />

mifarakano. Walinganiaji watakapofarakana, kila mlinganiaji<br />

atawaita watu waje kwenye Uislamu wa mrengo wake. Matokeo ya<br />

faraka za walinganiaji ni Uislamu kugawanyika katika madhehebu<br />

mbali mbali, jambo ambalo halipo na halikubaliki katika Uislamu.<br />

Allah (s.w) anatukumbusha katika Qur’an:<br />

“Nyenyekeeni Kwake na Mcheni, na simamisheni Sala, wala<br />

msiwe katika washirikina. “Katika wale walioitenga dini<br />

yao na wakawa makundi makundi; kila kikundi kinafurahia<br />

kilicho nacho”. (30:31-32)<br />

Waislamu ni Umma mmoja na dini yao ni Moja iliyo<br />

asisiwa chini ya misingi ya Qur’an na Sunnah. Ili kulingania<br />

Uislamu Mmoja utakaopelekea kupatikana kwa Umma mmoja<br />

wenye nguvu ya kusimamisha Uislamu katika jamii walinganiaji<br />

hawanabudi kufuata Mtaala mmoja unaotokana na Qur’an na<br />

Sunnah. Maswahaba wa Mtume (s.a.w) walioandaliwa kwa<br />

Mtaala huu walishikamana na kuwa Umma Mmoja wenye nguvu<br />

kama tunavyojifunza katika aya ifuatayo:<br />

122

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!