08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Abu Zarr (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa Allah amesema:<br />

“Anayejitoa kwenye ummah (jumuiya ya Kiislamu) hata<br />

kiasi cha upana wa kiganja cha mkono, hakika atakuwa<br />

ameitoa kamba ya Uislamu shingoni mwake”. (Ahmad, Abu<br />

Daud).<br />

Hadith zote hizi zinasisitiza kuwa mwenye kujitenga na<br />

jumuiya ya Kiislamu iliyojengwa na inayoendeshwa kwa misingi ya<br />

Uislamu atakuwa pia amejitenga na Uislamu hata kama ataendelea<br />

kujiita Muislamu au mwanaharakati wa kusimamisha Uislamu.<br />

Hali kadhalika Mwanaharakati aliyejiunga katika kundi la<br />

Harakati lililojengwa na linaloendeshwa katika misingi ya Uislamu<br />

atashikamana na kundi hilo mpaka mwisho wa maisha yake.<br />

Atakayejitoa kwenye kundi bila ya sababu za msingi atakuwa<br />

amejitoa katika Rehema ya Allah(s.w).<br />

3. Kushauriana<br />

Sifa nyingine ya kundi la Harakati ni kuwa na tabia ya<br />

kushauriana katika kuendesha shughuli za Harakati ili kujenga<br />

hisia za umoja na ushirikiano kwa lile wanalolifanya katika<br />

kuendea lengo. Suala la kushauriana ni suala la kidemokrasia<br />

linalosisitizwa mno katika Uislamu kama tunavyojifunza katika aya<br />

ifuatayo:<br />

Basi kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu<br />

umekuwa laini kwao (ewe Muhammad). Na kama<br />

ungelikuwa mkali na moyo mgumu, bila shaka<br />

wangelikukimbia. Basi wasamehe wewe na waombee<br />

msamaha (kwa Mwenyezi Mungu) na ushauriane nao katika<br />

99

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!