08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ukichunguza kisa hiki Mwenyezi Mungu aliweka mpango<br />

madhubuti wa kuwaokoa waja wake wema pindi atakapoleta<br />

gharika ili uhai uendelee. Pengine tutathmini mpango huu kwa<br />

mujibu wa vigezo vya mpango madhubuti au kwa kujibu yale<br />

maswali manane:<br />

(1) Nini ulikuwa mpango wa Mwenyezi Mungu?<br />

Jibu: Kuwasafirisha viumbe teule na waumini mahali pa<br />

salama.<br />

(2) Kwanini zoezi hilo lilikuwa muhimu?<br />

Jibu: Ili maisha yaweze kuendelea baada ya mafuriko.<br />

(3) Nani walikuwa walengwa?<br />

Jibu: .Nabii Nuhu (a.s), waumini na baadhi ya wanyama<br />

(viumbe).<br />

(4) Vipi lengo hilo litafikiwa?<br />

Jibu: Usafiri wa majini kwa kutumia safina.<br />

(5) Lini?<br />

Jibu: Mwanzo wa mafuriko mpaka mwisho wa mafuriko.<br />

(6) Wapi?<br />

Jibu: Mashariki ya kati katika mji alioishi Nabii Nuhu na<br />

watu wake.<br />

(7) Kwa gharama ya kiasi gani?<br />

Jibu: Nuhu na waumini walijitolea kuchonga jahazi.<br />

(8) Faida gani itapatikana baada ya zoezi hilo?<br />

Jibu: Ardhi itakuwa na viumbe hai tena baada ya gharika<br />

na waumini watamuabudu Mola wao ipasavyo katika kila<br />

kipengele cha maisha yaani watasimamisha ukhalifa katika<br />

ardhi.<br />

178

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!