08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Hivyo ndoa ya Mtume (s.a.w) na Bibi Khadija haikutokea<br />

kwa bahati nasibu tu, bali ulikuwa mpango madhubuti wa Allah<br />

(s.w) ili kumtajirisha Mtume ili aweze kutoa mchango wake katika<br />

kuwahurumia na kuwasaidia madhaifu katika jamii yake, na ili awe<br />

mfano wa kuigwa na matajiri katika kutoa mali kwa ajili ya Allah<br />

katika kuwahurumia wanajamii. Qur-an inatufahamisha:<br />

Na akakukuta fakiri akakutajirisha?” (93:8)<br />

Muhammad (s.a.w) alikuwa fakiri kabla ya kumuoa Khadija<br />

na kuwa tajiri mkubwa baada ya kumuoa Khadija<br />

(vi) Kuchukia maovu na kujitenga pangoni<br />

Kuchukia maovu na kujitenga pangoni, ni tukio lingine<br />

linaloonesha kuandaliwa kwa Mtume (s.a.w). Muhammad (s.a.w)<br />

tangu angali kijana alijihusisha mno na masuala ya kijamii na<br />

alikuwa akikereka sana kuona wanyonge wakidhulumiwa. Akiwa<br />

na umri wa miaka 20 alijiunga na Chama cha kuwatetea wanyonge<br />

dhidi ya Madhalimu. Mtume (s.a.w) alikosa usingizi kwa Sababu<br />

ya matatizo ya wengine na alikuwa na shauku kubwa ya kutafuta<br />

njia ya kuitoa jamii yake kwenye uovu na upotofu na kuipeleka<br />

kwenye wema na uongofu. Katika hali hiyo ilibidi ajitenge pangoni<br />

ili kutafuta msaada kwa Muumba Wake na aliupata kwa njia ya<br />

ndoto na baadaye kutumiwa Malaika Jibril. Allah (s.w)<br />

anamkumbusha Mtume wake juu ya maandalizi haya:<br />

“Je! Hatukukupanulia kifua chako. Na tukakuondolea<br />

mzigo wako (mzito) uliovunja mgongo wako?” (94:1-3)<br />

“Na akakukuta hujui kuongoza njia akakuongoza?” (93:7).<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!