08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Soma kwa jina la Mola wako aliyumba. Ambaye amemuumba<br />

mwanaadamu kwa ‘Alaq (kitu chenye kuning’inia). Soma na<br />

Mola wako ni karimu sana. Ambaye amemfundisha<br />

(mwanaadamu) kwa kalamu amemfundisha mwanaadamu<br />

(chungu ya) mambo aliyokuwa hayajui” (96:1-5).<br />

Kwa mujibu wa aya hii “kusoma kwa jina la Mola” ina<br />

maana ya kusoma kwa lengo la kutafuta radhi za Allah (s.w) au kwa<br />

lengo la kumuabudu Allah (s.w) ipasavyo na kusimamisha Ukhalifa<br />

katika jamii. Amri ya kujielimisha inahusu Elimu ya Mazingira<br />

(majina ya vitu vyote) na Elimu ya Mwongozo (Maarifa ya<br />

Uislamu). Elimu sahihi ni ile iliyosomwa “kwa jina la Mola”, iwe ni<br />

ya Mazingira au Maarifa ya Uislamu. Elimu yoyote itakayosomwa<br />

si kwa jina la Mola haitakuwa sahihi hata ikiwa ni Maarifa ya<br />

Uislamu kama tunavyojifunza katika Hadith:<br />

“Abu Hurairah amesimulia kuwa Mtume (s.a.w) amesema:<br />

‘Anayetafuta elimu isiyokuwa kwa ajili ya kutafuta radhi za Allah<br />

(s.w), hasomi kwa lengo lolote lile ila la kupata maslahi ya hapa<br />

duniani tu. Hivyo siku ya kiyama hatapata hata harufu ya pepo”.<br />

(Ahmad, Abu Daud, Ibn Majah).<br />

Elimu iliyosomwa kwa lengo lake imepewa nafasi ya kwanza<br />

kwa sababu:<br />

(1) Ndiyo pekee inayomuwezesha mwanaadamu kumjua<br />

Mola wake vilivyo na kumuabudu inavyostahiki na<br />

kwahiyo kufikia lengo la kuumbwa - Qur’an (51:56).<br />

(2) Ndiyo nyenzo pekee ya kuwainua waumini daraja, Qur’an<br />

(58:11), na kuwa Makhalifa wa Allah katika jamii.<br />

212

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!